Monday, July 16, 2012

Patrin Kibello azikwa huko Boston.

Marehemu Patrin Kibelloh aliyefariki ghafla siku ya Jumanne July 10,2012. na kuzikwa Ijumaa july 13 huko kwenye makaburi ya Gardner, West Roxbury Massachussets hapa Marekani.
Baadhi ya ndugu na marafiki waliohudhuria katika msiba huko nyumbani kwake Saugus, Boston Massachussets.
Marehemu Patrin Kibelloh akizikwa. Marehemu alipata mafunzo katika Institute of proffesional & Restaurant mjini Boario nchini ITALY alizaliwa April 25,1963 nchini Tanzania na ameacha mke na watoto wawili akiwa na umri wa miaka 49. Mwenyezi Mungu ailaze roho yake pahala pema peponi Amen. (Picha zote na swahilivilla.blogspot.com)

No comments: